KAMATI YA KUDUMA YA BUNGE YA KILIMO, MIFUGO NA MAJI YAPONGEZA UWEKEZAJI WA MAZAO YA MBOGAMBOGA, MATUNDA NA MAZAO YA MIZIZI

Na Mwandishi wetu-Kilimanjaro Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Kilimo, Mifugo na Maji Mhe Dkt. Christine Ishengoma ameipongeza Wizara ya Kilimo pamoja na Taasisi Kilele inayojihusisha na ulimaji wa mbogamboga, maua na mazao ya bustani TAHA kwa uwekezaji mzuri nchini. Dkt Ishengoma ametoa pongezi hizo tarehe 14 Agosti 2021 mara baada ya kutembelea